Plot4Sale Nauza shamba Morogoro

Se-ronga

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
650
Reaction score
909
MahaliπŸ˜€akawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma

Ukubwa wa shamba ni heka 20

Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka mzima

Umbali wa shamba kutoka mtoni ni around mita 350

Shamba limepimwa na lina hati ya kimila

Mazao yanoyoweza kulimwa ni MPUNGA (msimu wa mvua na kiangazi),kwa msimu wa kiangazi ni mazao yote ya horticulture


Kama upo serious kununua kwa ajili kufanya uwekezaji kwenye kilimo,na hasa kisichotegemea mvua,njoo PM tuyajenge

 
Hivi huwa mnafanya makusudi, au ni bahati mbaya? JF ina members wageni wengi kuliko sisi wenye ID's.

Hivyo kutaka watu wakufuate pm, ni kuwanyima fursa wale wadau wengine wengi wanaopitia humu kukusanya madini.

Weka bei ya shamba, picha za kutosha ili kuvutia wateja wako na mwisho kabisa weka na mawasiliano yako. Haya masuala ya pm achaneni nayo.
 
Bei 1,500,000 kwa kila hekaView attachment 1955806View attachment 1955807View attachment 1955808View attachment 1955809View attachment 1955811View attachment 1955810View attachment 1955812View attachment 1955813
 
Hivyo viatu bei gani mkuu?
 
nchek-call pia watsapp 0718436694
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…