Nauza Shamba

Gerald

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
290
Reaction score
46
Nauza shamba eka moja, Kibamba CCM 150m
 
Nauza shamba eka moja, Kibamba CCM 150m

Mkuu naona ume post tangazo ukiwa na haraka kweli au umedhania wote tuna uelewa mkali kama wako labda, mi sijaelewa shamba liko 150 meters toka Kibamba ccm au unauza 150 milioni au, maelezo yanasaidiaga saa zingine mkuu
 
Eka moja ni shamba au kiwanja?
 
Ni Sh 150M na ni eka moja Eneo lipo Kibamba kiburugwa barabara ya kwenda Bagamoyo na lipo barabarani sio kiwanja ni shamba.
 
milioni 150!!!!!! 1 h? kweli hapo lazi mafisadi tu!
 
Tzs 150 milion? Mh toka uzaliwe umewahi kuzimiliki nini maana unavyotamka kirahisi ......
 
Ni Sh 150M na ni eka moja Eneo lipo Kibamba kiburugwa barabara ya kwenda Bagamoyo na lipo barabarani sio kiwanja ni shamba.

Yaani kuwa barabarani nndo kunafanya iwe 150m. after all kununua barabarani nilishakoma maana magufuri karudi ujenzi yeye ni kuvunja tu hakuna mjadara

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…