SOWETO_MAN
Member
- May 4, 2021
- 69
- 32
Redmi note 10 mpya kwasasa ni 450kHabari za muda huu wana jukwaa?...niko na simu janja aina ya Redmi note 9 iliyo tumika miezi mitano ambayo ipo katika excellent conditions! Bei yake ni fixed kwa laki nne na nusu tu (450,000/=)...Napatikana Dodoma kwa mawasiliano zaidi piga 0763797102!View attachment 2036288View attachment 2036289View attachment 2036290View attachment 2036291View attachment 2036292
Huku Dom hii niliichukua kwa 500K ...hyo bei nadhan ni ya Dar!Redmi note 10 mpya kwasasa ni 450k
Nipe 350 bossUkikosa mteja chukua laki3 unitumie kwenye bus
Hapo juu umeandika bei ni fixed 450k, mara nipe 350k, naamini hata 50k utauza. Risiti na box lake unavyo?Nipe 350 boss
Hapa ndio umeshaiharibu biashara wewe mwenyewe.Nipe 350 boss