Phone4Sale Nauza simu janja aina ya Redmi note 9

SOWETO_MAN

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
69
Reaction score
32
Habari za muda huu wana jukwaa?

Niko na simu janja aina ya Redmi note 9 iliyo tumika miezi mitano ambayo ipo katika excellent conditions!

Bei yake ni fixed kwa laki tatu na nusu tu (350,000/=).

Napatikana Dodoma kwa mawasiliano zaidi piga 0763797102!

 
Naombeni kujua ubora na uzuri wa hizi aina za simu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…