unajua maana ya kitu 'kipya' wewe ?simu ni mpya na kwakuwa nimeitumia mwezi na nusu
hhahahahaaa"Hongera" inaandika nguruwe
we dogo hizi simu zinatolewa na Kampuni ya Tigo kwa sh 99,000/ mpaka Tecno Y3+
airtel kwa muda wa maonezi wa 66,000/
pili Tecno tunaziogopa bora kamzawadie nduguyo
simu ya Mchina unatuma sms yenyewe inamtukana uliyemtumia
"Hongera" inaandika nguruwe
kazi kweli kweli
acha wennye we waingie dukani
dogo mama ako.we dogo hizi simu zinatolewa na Kampuni ya Tigo kwa sh 99,000/ mpaka Tecno Y3+
airtel kwa muda wa maonezi wa 66,000/
pili Tecno tunaziogopa bora kamzawadie nduguyo
simu ya Mchina unatuma sms yenyewe inamtukana uliyemtumia
"Hongera" inaandika nguruwe
kazi kweli kweli
acha wennye we waingie dukani