Kwaza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa Mungu na pia kwa mtu alienisaidia humu JF nikapata kazi.
Sasa nataka kuuza simu yangu infinix hot 7 180000 ili niweze kupata nauli ya kazini lakini pia ninunue nguo baadhi nauza na airphose 35000 sehemu ya kazi natumia magari mawili.
Nishaomba mkopo kwa ndugu zangu kama unavyojua wameweka vipingamizi kuwa kazi yenywe inaweza isikulipe bora ungesubiri lakini msimamo wangu ni ule ule.
Maongezi yapo.
Sasa nataka kuuza simu yangu infinix hot 7 180000 ili niweze kupata nauli ya kazini lakini pia ninunue nguo baadhi nauza na airphose 35000 sehemu ya kazi natumia magari mawili.
Nishaomba mkopo kwa ndugu zangu kama unavyojua wameweka vipingamizi kuwa kazi yenywe inaweza isikulipe bora ungesubiri lakini msimamo wangu ni ule ule.
Maongezi yapo.