Dukani laki 7 hyo usiifananishe na pop2Li fingerprint kama tecno
Haina swagger ๐๐ hata kama ni 700k mara mia ata Google pixel 5 au 6Dukani laki 7 hyo usiifananishe na pop2
ni old version yenye viwango vya juu sana, appearance yake iko chini kulinganisha na simu za kisasa lakini katika ubora wa kimatumizi iko juu sana kuliko hata infinix nyingi sana za hivi sasa. unaweza ona hata price yake ilivyo ukifananisha na infinix za sasa utagundua kitu. mimi nahitaji 130k niko ugenini sina pesaHaina swagger ๐๐ hata kama ni 700k mara mia ata Google pixel 5 au 6
Unataka kumuharbia biashara sasa๐๐ uzi uwe wa malumbano toa pesa hiyo uchukue chumaHaina swagger ๐๐ hata kama ni 700k mara mia ata Google pixel 5 au 6
Ingekuwa bado ipo si angekuwa online kashauza huyoSIMU BADO IPO
Ni single line au ina line mbili?nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:-
64GB storage
4GB ram
6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana
13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora wa hali ya juu. napatikana bagamoyo pwani kwa simu nambari 0748106950 nahitaji 130k kwa hii simu. bei yake ya dukani ni 700k
SIFA ZAIDI
baterry 4100mah
4G network speed
615 snapdragon chipset
pprotection corning gorilla glass 3
GPU adreno 405
video 1080p@60fps,720p@120fps
View attachment 2519446
Yaani kutoka 700,000 hadi 130,000???nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:-
64GB storage
4GB ram
6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana
13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora wa hali ya juu. napatikana bagamoyo pwani kwa simu nambari 0748106950 nahitaji 130k kwa hii simu. bei yake ya dukani ni 700k
SIFA ZAIDI
baterry 4100mah
4G network speed
615 snapdragon chipset
pprotection corning gorilla glass 3
GPU adreno 405
video 1080p@60fps,720p@120fps
View attachment 2519446