Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa kwanza vocha tuweze kukutafutaANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
Mods uzi usiunganishwe.
View attachment 3067507View attachment 3067508View attachment 3067509
Sawa kakaWeka namba dm nikujaze mapesa ukasimulie na wengine.
Natumiwa hela kaa kwa kutuliaVocha za bure zimekuharibu😂
Ndio unaweza kuupata mkuuHiyo body ya Jeep nyekundu kwenye picha ya mwisho naweza kuupata complete body Mnyenz ?
Mkuu ongezea taarifa muhimu kama sehemu ulipo (Mkoa, wilaya, mtaa/eneo) pengine huku wadau hawakujui.
Pia kama una kurasa za mitandao mingine ya kijamii tupia hapa wadau wafuatilie.
Sawa sawa MkuuNipo Dar, ila natuma spea mikoa yote mpaka nchi jirani.
Taa Kali za Corolla hauna ? Na vipi naweza kupata tyre nzuri za sports za Corolla ?ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
Mods uzi usiunganishwe.
View attachment 3067507View attachment 3067508View attachment 3067509
Vyema kushukuru🫶View attachment 3067544
Ahsante kaka! Sikuamini kama kweli utatuma
ephen_ kiutani utani nimetumiwa hela
Sawa subiri niangalie spea gani ninunueSio kweliii😂 muungishe sasa biashara