habarini wakuu
nauza gari aina ya subaru legacy ambayo ina miezi mitano toka itumike Tanzania ikitokea Japan kwa gharama ya 10.5m tu,sababu za kuiuza ni kwamba nina gari nyingne ambayo nmeagiza pia.Gari ni mpyaa wala haina haja ya kurekebisha chochote ni kuwasha na kuondoka with full documents ina 1900cc kwa atakayeitaka anaweza kunitafuta kwa namba 0659756647
Sent from my iPhone using JamiiForums