Car4Sale Nauza Subaru XT

Mkuu mbona kama imerudiwa rangi? Halafu upande huo wa kushoto hiyo taa haifanani na ya kulia...au macho yangu?
 
Ila Jamii Forums is never boring πŸ™Œ

Yaani ukisoma Comments tu hata kama ulikuwa unadaiwa Kodi utajikuta hauna stress kabisa πŸ€—

Dada hii gari ni kali, basi tu budget ndo iko juu, kama vipi chukua Dada yangu hutojuta, na rangi hiyo kwa wa dada ndo nzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…