till hustling
Member
- Mar 7, 2015
- 36
- 12
Kiongozi unauzaje? mimi nipo dar nahitaji sunguraNpo dodoma mjini nina sungura weng wa kuuza kwa anaehtaji anitafute kwa email. gmwidimya@gmail.com
Kiongozi unauzaje? mimi nipo dar nahitaji sungura
hybrid au wa kienyeji?
Sasa wewe kiongozi unanipa mashaka na biashara yako na unaonekana haupo serious. Wewe unafanya biashara hutoi namba yako lakini unataka namba ya mteja? Huoni hapo kama kuna tatizo? AU NDIO MAMBO YA KITOMARI?npe email or phone n0 2wasiliane.
Sasa wewe kiongozi unanipa mashaka na biashara yako na unaonekana haupo serious. Wewe unafanya biashara hutoi namba yako lakini unataka namba ya mteja? Huoni hapo kama kuna tatizo? AU NDIO MAMBO YA KITOMARI?
Kwa picha ya harakaharaka naona kama unataka kuleta mambo ya usiri. Nikushauri kitu kimoja next time ukileta biashara hapa weka maelezo yote ya awali ikiwemo namba ya simu na sio email address.