Hauko Serious na hiyo Biashara yako. All the best!Hata jina silijui mkuu
Inatia mashaka sanaπππππππ
Sasa unauzaje kitu ambacho hukifahamu? Brand inamaana kubwa sana kwenye biashara
sasa wale jamaa waliodakwa wanafungua nati za daraja la Tanzanite wangeenda kuuza kwani wangejua brand ?πHata ya wizi jina utalijua kwakuwa unayo mwenyewe,inamaana hujui kusoma unajua kuandika tu?