INAUZWA Nauza Tairi Adimu na Mpya za Pirelli/ iMove

ComputersDAR

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
213
Reaction score
242
Tairi ni kama ifuatavyo:

2 pieces Pirelli P Zero (PZ4) size 265/45R 18

2 pieces Ironman iMOVE GEN2 size 245/50R 18

Rim size ni inchi 18.

Hizi tairi niliagiza brand new kutoka USA mwezi February 2022 na zimetembea chini ya kilomita 20. Ni mpya tuseme.

Sababu ya kuuza ni kwamba mara baada ya kuzifunga tairi kwenye gari na kuendesha kidogo computer ya gari ilizikataa kwani zimezidi vipimo vinavyotakiwa, na ndiyo nikaamua kuziondoa.

Bei: 480,000 kwa kila tairi.

Tairi zinapatikana Dar es Salaam.

Wasiliana kwa 0625536529

 

Attachments

  • 7944B6EC-DF1D-4B83-9F6D-9CB3D2D53144.jpeg
    1,010.5 KB · Views: 14
  • 1B9E23F5-0F39-4381-BA09-34C1F0FD1D0A.jpeg
    1.2 MB · Views: 12
Yaani size za gari yangu kabisa ila bei ndio mtihani bei? 245/45/18
 
Umezitumiaje kwenye gari yako ikiwa zina size tofauti hapo?
 
Ila mkuu brand halisi si ni Firreli made in Italy
Hii Pirreli isijekuwa ni kama singsung ya Samsung
 
Ila mkuu brand halisi si ni Firreli made in Italy
Hii Pirreli isijekuwa ni kama singsung ya Samsung
Siyo kweli. PIRELLI ndiyo OG Premium Tire Manufacturer Brand. Hili halina ubishi mkuu.


Hiyo Firelli sijawahi kuisikia.

Uki-google "Firelli" unapata "pizza hot sauce".

 
Ila mkuu brand halisi si ni Firreli made in Italy
Hii Pirreli isijekuwa ni kama singsung ya Samsung
Ukisikia ujuaji ndio huu
Hiyo firelli labda ni brand yako. Pirelli ndio jina halisi, Tena walikuwa wazamini wa inter Milan kwa miaka mingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…