Nauza tairi used BMW

Nauza tairi used BMW

ComputersDAR

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
213
Reaction score
242
Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri.

Size ni 225 45R17

Continental ContiSport run-flat.

Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo.

0759970963
7BCBB3EC-6AAB-4E7F-AD5E-418F411F8416.jpeg
C209B57F-221F-4884-9742-CC7947840240.jpeg
C62CA45B-18C7-4720-BFDF-7351F9C0C9D8.jpeg
ACE797E6-07D5-4A09-99C6-F7288EA9F7BA.jpeg
 
Sisi watu wa OHS tunashauri hivi.....
Usije ukaamini tyre yeyote iliyokuja na gari hata kama bado kimuonekano zipo vizuri.
Sababu ni kwamba, tyre inapokuja na gari wewe mtumiaji hauwezi jua ilikaa na gari kwa muda gani. Na ubaya wa hizi tyre ni pale inapokua imetulia juani kwa muda mrefu wakati gari ikiwa haitembei.
Anyway, bilashaka mlisha wahi kuiskia mtu ananunua gari kutoka nje, then inaletwa bongo na kisha anakabidhiwa mwenye gari tayari kwa safari. Akiwa njiani tyre inapasuka gari likiwa kwenye mwendo na lolote hutokea.
 
Back
Top Bottom