NAUZA:Toyota Hilux ( Double-cabin)

NAUZA:Toyota Hilux ( Double-cabin)

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,423
Reaction score
1,987
HABARINO👋

Huu 'mtambo' unavutia na hauna changamoto kubwa za kuumiza kichwa.
Gari ipo katika Hali nzuri.
Inapatikana Dar.

SIFA:
Toleo la 1994,
Cc 2809,
Engine 3L,
Imetembea km.202,000.
Siti nzuri na ina Radio.

HAIJAWAHI KUPATA AJALI.

Bei Tshs.15 MILIONI tu.

CHANGAMOTO:
Lens ya Indicator moja imekufa pia, Mguu mmoja unagonga kiasi.

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10% ya Biashara.
Piga mapema ukihitaji kuikagua:
+255 714 59 15 48.

Nawasilisha.
IMG-20200827-WA0012.jpg
IMG-20200827-WA0008.jpg
IMG-20200827-WA0007.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200827-WA0015.jpg
    IMG-20200827-WA0015.jpg
    57.4 KB · Views: 52
  • IMG-20200827-WA0010.jpg
    IMG-20200827-WA0010.jpg
    50.2 KB · Views: 50
  • IMG-20200827-WA0017.jpg
    IMG-20200827-WA0017.jpg
    52.3 KB · Views: 51
HABARINO👋

Huu 'mtambo' unavutia na hauna changamoto kubwa za kuumiza kichwa.
Gari ipo katika Hali nzuri.
Inapatikana Dar.

SIFA:
Toleo la 1994,
Cc 2809,
Engine 3L,
Imetembea km.202,000.
Siti nzuri na ina Radio.

HAIJAWAHI KUPATA AJALI.

Bei Tshs.15 MILIONI tu.

CHANGAMOTO:
Lens ya Indicator moja imekufa pia, Mguu mmoja unagonga kiasi.

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10% ya Biashara.
Piga mapema ukihitaji kuikagua:
+255 714 59 15 48.

Nawasilisha.View attachment 1550462View attachment 1550463View attachment 1550465
Mkuu, umeshawahi kujiuliza zaidi ya kununua huu mkweche, milioni 15 inaweza kufanya nini kingine?
Embu nishawishi niache kununua X Trail kali kwa milioni 13 nije nichukue hili ngala ngala kwa m 15!
Unachouza hapa ni nyanya mbovu... Ukirudisha hela ya tairi, shukuru mungu.
 
Naona ndio unajifunza hadi kingereza cha mitaani ili uaminike. Hiyo gari inafaa kwa chuma chakavu na kilo moja ya chuma chakavu ni Sh 600 sasa lipime linakilongapi tuongee bei
😂 😂 😂 😂 😂
 
Chukua MIL 5 mkuu ipo mfuko wa shat kabsaa
 
Watanzania mnavituko gari ina zaidi ya 25 plus years toka itengenezwe alafu unaiuz 15M??
Jigari limetumika Tanzania weee mpaka limechoka bodi na hata injini. Kisha hapo hapo wanasema bei 15M na dalali eti anataka 1.5M (10%). Kwa maneno mengine eti gari hiyo yauzwa 16.5M😂😂😂
 
Jigari limetumika Tanzania weee mpaka limechoka bodi na hata injini. Kisha hapo hapo wanasema bei 15M na dalali eti anataka 1.5M (10%). Kwa maneno mengine eti gari hiyo yauzwa 16.5M😂😂😂
Lafudhi yako hiyo 'mtoto' mzurimzuri😋
Vipi, Umemaliza Kula Ha'lua nikupe kijiti ujichokonoe?
Wallah napata shida juu yako😘
 
Comments za huh uzi zimeni inspire kufungua uzi kuelezea utofauti wa gari na truck.

Kuna ombwe kubwa sana la uwelewa kwa baadhi ya watu kuwa si kila chombo chenye matairi manne kinachotembea barabarani na kuendeshwa na dereva ni gari(car) ..kwani kuna utofauti mkubwa sana kati ya gari na a truck.

Car/gari ni chombo kidogo cha usafirishaji, kilichoundwa mahususi kwaajili ya kubeba na kusafirisha watu..mara nyingi ni kwanzia watu wawili mpaka watu 7.

Cars huwa na eneo dogo kwaajili ya kubeba bags ndogo ndogo walizonazo wasafiri.

Muundo wa gari (car), huwa hazitumii frame chasis (uni body). Body yake ndo huwa chasis yake na vitu vyote ikiwemo engine hufungwa kwenye body.

Body ya gari ikichoka..ndo kufa kwa gari husika kwani suspension system, matairi, engine yote inategemea uimara wa body ili ziwe still..

A truck ni tofauti kidogo na magari. Haya yako designed kwaajili ya kubeba watu wachache na kiasi kikubwa zaidi cha mizigo.
Ziko optimized kwaajili ya kazi nzito. Haziko luxury sana ila zinaweza kumudu kazi ngumu na hali mbaya ya barabara.

Muundo wa trucks ni tofauti na ule wa magari. Trucks huundwa na uti wa mgongo uitwao solid frame chasis. Frame chasis hii ndoyo hufungwa components zote za gari ikiwemo suspension system. Engine, body etc. A truck inaweza isiwe na body, na bado chasis pekee ikiwa na componets zake ikiwemo engine...inaweza kuingia barabarani na kutembea vizuri tu..

Hivyo, kwa nature ya trucks ambazo pickup ni lite version yake, mtumiaji huwa hazingatii umri wa gari au namba..ila ni je...does it serve the purpose?

Kuna mtoa hoja amezungumzia bei husika ni heri ya kununua nissan x trial...ni kweli kabisa...ila je? X trial inaweza kwenda kuvuna nanasi pale kiwangwa ...na ikabeba chache kuleta sokoni?

Je ni gharama kiasi gani ungetumia kuchukua cement dukani na kupeleka site kila siku kama una ujenzi.....x trial ingemudu? Umenunua kitanda....unaduka lako la mangi...ni gharama kiasi gani ungetumia kununua bidhaa kurestock duka?

Hivyo basi....pickup trucks si gari ya kila mtu....ni gari ya mkandarasi...ni gari ya mkulima..ni gari ya mjasiriamali na ni gari ya mfugaji na ni tumaini kwamba kundi hili la watu wao wanajua thamani ya trucks. Trucks ni gari zinazolala porini kujenga barabara ili x-trial ipite..ni gari inayopeleka Sembe dukani ili mkeo anunue akusongee ugali nyumbani. Its not a vehicle for every one.

Kuhusu bei ya mleta mada...siwezi kugusia ilo...ni biashara yake ila nimeattach gharama za befoward za hilux model hii ya 1990...kufanya short comparisons....
Ni kwamba thamani ya truck model hii bado haijashuka thamani kama wengi wetu tunavyo dhani.
 

Attachments

  • Screenshot_20200901-222213.jpg
    Screenshot_20200901-222213.jpg
    142 KB · Views: 57
Watanzania mnavituko gari ina zaidi ya 25 plus years toka itengenezwe alafu unaiuz 15M??
There is Value and Price. And not necessarily price should equal value.. it's the trick of the game..

Ukija kichwa kichwa with less knowledge unaweza kuuziwa kitu cha buku..elfu tano. Na ukaridhika kesho tena ukarudi..

Unaweza kukuta nimechalala nikakuuzia kitu cha milion.. laki 2 ..what matters is the willingness and ability of the buyer and seller to exchange.

If you are don't find the price reasonable... then you are not a right buyer..so you go ahead and look for what interests you with the right price and of course... you have the ability and willingness to purchase.[emoji16]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Comments za huh uzi zimeni inspire kufungua uzi kuelezea utofauti wa gari na truck.

Kuna ombwe kubwa sana la uwelewa kwa baadhi ya watu kuwa si kila chombo chenye matairi manne kinachotembea barabarani na kuendeshwa na dereva ni gari(car) ..kwani kuna utofauti mkubwa sana kati ya gari na a truck.

Car/gari ni chombo kidogo cha usafirishaji, kilichoundwa mahususi kwaajili ya kubeba na kusafirisha watu..mara nyingi ni kwanzia watu wawili mpaka watu 7.

Cars huwa na eneo dogo kwaajili ya kubeba bags ndogo ndogo walizonazo wasafiri.

Muundo wa gari (car), huwa hazitumii frame chasis (uni body). Body yake ndo huwa chasis yake na vitu vyote ikiwemo engine hufungwa kwenye body.

Body ya gari ikichoka..ndo kufa kwa gari husika kwani suspension system, matairi, engine yote inategemea uimara wa body ili ziwe still..

A truck ni tofauti kidogo na magari. Haya yako designed kwaajili ya kubeba watu wachache na kiasi kikubwa zaidi cha mizigo.
Ziko optimized kwaajili ya kazi nzito. Haziko luxury sana ila zinaweza kumudu kazi ngumu na hali mbaya ya barabara.

Muundo wa trucks ni tofauti na ule wa magari. Trucks huundwa na uti wa mgongo uitwao solid frame chasis. Frame chasis hii ndoyo hufungwa components zote za gari ikiwemo suspension system. Engine, body etc. A truck inaweza isiwe na body, na bado chasis pekee ikiwa na componets zake ikiwemo engine...inaweza kuingia barabarani na kutembea vizuri tu..

Hivyo, kwa nature ya trucks ambazo pickup ni lite version yake, mtumiaji huwa hazingatii umri wa gari au namba..ila ni je...does it serve the purpose?

Kuna mtoa hoja amezungumzia bei husika ni heri ya kununua nissan x trial...ni kweli kabisa...ila je? X trial inaweza kwenda kuvuna nanasi pale kiwangwa ...na ikabeba chache kuleta sokoni?

Je ni gharama kiasi gani ungetumia kuchukua cement dukani na kupeleka site kila siku kama una ujenzi.....x trial ingemudu? Umenunua kitanda....unaduka lako la mangi...ni gharama kiasi gani ungetumia kununua bidhaa kurestock duka?

Hivyo basi....pickup trucks si gari ya kila mtu....ni gari ya mkandarasi...ni gari ya mkulima..ni gari ya mjasiriamali na ni gari ya mfugaji na ni tumaini kwamba kundi hili la watu wao wanajua thamani ya trucks. Trucks ni gari zinazolala porini kujenga barabara ili x-trial ipite..ni gari inayopeleka Sembe dukani ili mkeo anunue akusongee ugali nyumbani. Its not a vehicle for every one.

Kuhusu bei ya mleta mada...siwezi kugusia ilo...ni biashara yake ila nimeattach gharama za befoward za hilux model hii ya 1990...kufanya short comparisons....
Ni kwamba thamani ya truck model hii bado haijashuka thamani kama wengi wetu tunavyo dhani.
Umeeleza vyema sana chief..kama utakuja kufungua huo uzi usisite kunitag
 
Naona ndio unajifunza hadi kingereza cha mitaani ili uaminike. Hiyo gari inafaa kwa chuma chakavu na kilo moja ya chuma chakavu ni Sh 600 sasa lipime linakilongapi tuongee bei
Hii comment huwa inanichekesha sana
 
Back
Top Bottom