Inaonekana unapenda ligi watu woote wameelewa sema unaenda ubishi tu...Ume-reply katika kitu usichokielewa,
Hapo kwenye neno "Mpya" ndio hapo hapo angemalizia "kwa Tanzania" iwe kama sentensi moja.
Sio "Mpya" ipo kwenye title, na "Never Used in Tanzania" iko ndani ya Uzi,
Kupenda Ligi vipi??Inaonekana unapenda ligi watu woote wameelewa sema unaenda ubishi tu...
Kwahio ikitokea kenya na hizo mileage ni mtumba ila kama ni UAE ni mpya!Wote tunajua magari yetu 99.9% ni mtumba... akisema mpya anamaanisha haijatembea nchini au rahisi zaidi ni imetembea mabara ya watu huko.
Hilo gari maadam limeshatumika ni mtumba. Hamna haja ya kuzungusha maneno. Unaweza ukapata mwanamke mpya kwako lakini kama alushabikiriwa na mwanaume mwingine huwezi kusema umepata mwanamke bikira... used ni used to bila kujalisha imekuwa used na naniKupenda Ligi vipi??
Hakuna gari Jipya hapo wewe, wacha kupotosha, unless labda neno JIPYA now days lina tafsiri mpya/ tofauti from BAKITA.
Neno Sahihi kwa kitu Kilichotumika nje ambacho kimekuja kuanza kutumika nchini kwa mara ya kwanza ni Mtumba.
Wewe kama unajihisi hupendi ligi basi kubaliana na ufafanuzi wangu huu.
Hapo itapendezaBado natafuta namba za Dr Luis, ani assist
Muone said mafua hapo au Kijana wngu Dege tua akupe hela hiyo fastaWakuu poleni na majukumu,
Nauza gari aina ya Toyota Ist
Chassis number
Unregistered
Never used in Tanzania
Model/Year 2002
Mileage 67,000km
Engine capacity 1290cc
Tshs 9.5milion (fixed)
Call 0787 646442
Location: Ilala Dar es salaam
Kwa mahitaji ya gari new and used wasiliana na mim faster mara moja 0787 646442
Acha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoaKupenda Ligi vipi??
Hakuna gari Jipya hapo wewe, wacha kupotosha, unless labda neno JIPYA now days lina tafsiri mpya/ tofauti from BAKITA.
Neno Sahihi kwa kitu Kilichotumika nje ambacho kimekuja kuanza kutumika nchini kwa mara ya kwanza ni Mtumba.
Wewe kama unajihisi hupendi ligi basi kubaliana na ufafanuzi wangu huu.
Wewe Ndio Mpuuzi katika Wapuuzi,Acha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoa
Ahsante Babu,Hilo gari maadam limeshatumika ni mtumba. Hamna haja ya kuzungusha maneno. Unaweza ukapata mwanamke mpya kwako lakini kama alushabikiriwa na mwanaume mwingine huwezi kusema umepata mwanamke bikira... used ni used to bila kujalisha imekuwa used na nani
Asante mkuu gar eti imetoka Burundi na mikilomita kibao ikitua bongo tu eti mpya!Ahsante Babu,
Watu hawamiliki hata baiskeli wanakuja kubishania kwenye Magari,
Gari ina KM 67,000 tayari unaiita "Mpya" kisa tu baada ya kuletwa Bongo ikapewa namba "Mpya", Ujinga huu.
Mkuu ligi ya nn?? Mbona jambo dogo sana hilo, mazoea yetu tu wabongo, gari ya showroom uwa tunaiona mpya, ambayo ukiinunua uwa unakua 1st owner, ila reality zinakua siyo mpya, gari mpya watz wachache ndio wenye uwezo wa kununua, example Government, kina Sabodo, Manji, yule muhindi wa Africarries pale vingungut jina limenitoka, etcAhsante Babu,
Watu hawamiliki hata baiskeli wanakuja kubishania kwenye Magari,
Gari ina KM 67,000 tayari unaiita "Mpya" kisa tu baada ya kuletwa Bongo ikapewa namba "Mpya", Ujinga huu.
Mkuu mashindano ya nn? Mpaka unatukana watu? Lengo la kuanzisha hii thread ni kuuza gari yangu kwa mtu atakayekua interested, overWewe Ndio Mpuuzi katika Wapuuzi,
Hakuna Siasa hapa, Either wewe ni Mbumbumbu huelewi au Umeamua kupotosha kuvutia Wateja wa huyo nduguyo,
Hujui hata kutofautisha Usajili Mpya na gari Mpya,
Gari hata ikitumika Zanzibar Miaka 10 ukaileta hapa Bara ukapewa namba Mpya, je utaiita ni Gari Mpya??
Mkuu hata mm nashangaa uzi wangu umegeuka debate wakat mm natangaza biashara yangu, yaaaani wabongo sisi wajuaji wajuaji sanaAcha siasa kwenye biashara za watu hiyo ni gari second end lakin mnunuaji wa tz atakua first user atapata na usajiri mpya we una shilingi ngapi kama huna hela achana na huu uzi wanunuaji waje fuata yako mkuu hii ni biashara debate za kipuuzi ondoa
We kama unauza Gari, Uza.Mkuu mashindano ya nn? Mpaka unatukana watu? Lengo la kuanzisha hii thread ni kuuza gari yangu kwa mtu atakayekua interested, over