DANIEL MWITA
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 117
- 41
Kaka spare gani umetafuta umekosa?kila la kheri mkuu,ila vanguard ni pasua kichwa sana,gari gani haina spare tyre aysee
Ahsante MkuuGari nzuri!
Kwanini watanzania tunajua kubambikizia wenzetu eti 35m hapo unafuu na kununua mpya. Af hizo odi meter 75k ntakua imeguswa uongo wakijingaGari ni yangu mwenyewe
Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000
Leather seat Safar automotive
New tyres
Km 75,000 - OG
Gari haina kasoro yoyote
Bei 35.5m
Call/watsap 0715140001
View attachment 2486783View attachment 2486784View attachment 2486788View attachment 2486789
Ila bei umeiweka juu mno rafiki. Maana kwa 35m ukiongeza kiduchu tu (2m) unapata used ya Japan.Gari ni yangu mwenyewe
Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000
Leather seat Safar automotive
New tyres
Km 75,000 - OG
Gari haina kasoro yoyote
Bei 35.5m
Call/watsap 0715140001
View attachment 2486783View attachment 2486784View attachment 2486788View attachment 2486789
Shida ya gari za Toyota ni bei ukilinganisha na gari europe, gari zinazofanana lakini bei zake ni rafiki sana kuliko hizi mjapan hasa ToyotaGari ni yangu mwenyewe
Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000
Leather seat Safar automotive
New tyres
Km 75,000 - OG
Gari haina kasoro yoyote
Bei 35.5m
Call/watsap 0715140001
View attachment 2486783View attachment 2486784View attachment 2486788View attachment 2486789
Jamaa anamaanisha kuwa gari yenyewe inakuwa haina tairi la spea (garini).kaka spare gan umetafuta umekosa?
Oooh naona sikumuelewa ndugu yanguJamaa anamaanisha kuwa gari yenyewe inakuwa haina tairi la spea (garini).
Sikatai mkuu lakini ongeza gharama zingine mf. gar nimeilipia bima kubwa 1.2m, cover safar automotive 1.5m nimefunga tyre zote mpya 960,000 jumla 3.6mIla bei umeiweka juu mno rafiki. Maana kwa 35m ukiongeza kiduchu tu (2m) unapata used ya Japan.
OKaySikatai mkuu lakini ongeza gharama zingine mf. gar nimeilipia bima kubwa 1.2m, cover safar automotive 1.5m nimefunga tyre zote mpya 960,000 jumla 3.6m
Mkuu hii haitoshi kama unataka kuamin mimi mtu akija kukagua namuonesha picha za gari ikiwa na Odometer ya japan kabla ya kuagiza mana picha zote ninazo halafu ataangalia mwenyewe mana gari ina miez mitatu tuWeka picha ya odometer kuondoa utata mkuu
Noted, kila la kheri boss. Exchange na subaru xt unafanya?Mkuu hii haitoshi kama unataka kuamin mimi mtu akija kukagua namuonesha picha za gari ikiwa na Odometer ya japan kabla ya kuagiza mana picha zote ninazo halafu ataangalia mwenyewe mana gari ina miez mitatu tu
Siwezi fanya biashara ya ujanja ujanja kaka..........hii gari nauza sababu naenda masomon nje ya nchi
Lakini mkuu, kwa sheria yetu ya Bima, wewe ukishaiuza na ikafanyiwa Transfer huyo mnunuzi hawezi kuwa covered na hiyo bima, itatakiwa na yeye akate bima kwa jina lake sababu BIMA haihamishiki.Sikatai mkuu lakini ongeza gharama zingine mf. gar nimeilipia bima kubwa 1.2m, cover safar automotive 1.5m nimefunga tyre zote mpya 960,000 jumla 3.6m
hapana kaka mana naenda nje kusomaNoted, kila la kheri boss. Exchange na subaru xt unafanya?
sawa mkuuLakini mkuu, kwa sheria yetu ya Bima, wewe ukishaiuza na ikafanyiwa Transfer huyo mnunuzi hawezi kuwa covered na hiyo bima, itatakiwa na yeye akate bima kwa jina lake sababu BIMA haihamishiki.
Eeeeh Mungu nibariki mwaka huu niwe na gari kama hili inshallahGari ni yangu mwenyewe
Imelipiwa bima kubwa - 1,239,000
Leather seat Safar automotive
New tyres
Km 75,000 - OG
Gari haina kasoro yoyote
Bei 35.5m
Call/watsap 0715140001
View attachment 2486783View attachment 2486784View attachment 2486788View attachment 2486789