TV4Sale Nauza TV kwa bei za store

Bracket ya tv little more inch 32 Bei gan
 
TCL 65P735 - 1,650,000/-
0713491359
Free delivery kwa Wakazi WA Dar
Lipia ukishapokea bidhaa yako
 
Naomba kuuliza, ki kawaida TV inayofaa kwa familia zetu za kawaida inatakiwa iwe ya ukubwa wa inchi ngapi?
 
Hisense smart 4K
43"=680,000
50"=890,000
55"=1,050,000
58"=1,090,000
65"=1,610,000

Free delivery kwa Wakazi WA Dar
Free installation
Unalipia ukishapokea bidhaa yako

karibu olijin electronics
[emoji3532]Tupo Dar es salaam kariakoo[emoji625]mtaa wa msimbazi Magira pia tunafanya free delivery kwa wateja wetu wa DSM ... mikoani tunatuma .ukiona tunachelewa kujibu tupigie 0713491359 [emoji1666]
Pia unaweza kutembelea Instagram yetu [emoji117]
View: https://www.instagram.com/p/CzbqV32tqTx/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
 
Hisense smart 4K
43"=680,000
50"=890,000
55"=1,050,000
58"=1,090,000
65"=1,610,000

Free delivery kwa Wakazi WA Dar
Free installation
Unalipia ukishapokea bidhaa yako

karibu olijin electronics
[emoji3532]Tupo Dar es salaam kariakoo[emoji625]mtaa wa msimbazi Magira pia tunafanya free delivery kwa wateja wetu wa DSM ... mikoani tunatuma .ukiona tunachelewa kujibu tupigie 0713491359 [emoji1666]
Pia unaweza kutembelea page yetu Instagram olijin Electronics
 
Huyu mkaka sio tapeli.... Kama una shifa ya TV kali mcheki 💥💥
 
Hapana
Nikuuzie hisense 0713491359 ninazo kwa Bei nzuri
Nilikuwa nahitaj Tv imatch na sound bar yake, ili kupata matokeo mazuri zaidi ya sauti....je naweza kuchanganaya Brands na isiwe shida?
 
Wauzaji wa humu JF jau Sana. Kuna boya alikua anauza tairi nikamuambia aniletee gereji tairi 4 Sinza nimekaa mpaka jioni jii. Kesho yake asb nampigia ananiambia zilikua za wizi (dili) kutoka godown la Wachina.

NB: Yeyote anayenunua kitu humu hakikisha unapewa risiti ya EFD na unajua ofisi ilipo. Vinginevyo jiandae kukaa Jela (Segerea) kwa wizi wa kuaminiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…