NAUZA VIFARANGA VYA KLOILA

NAUZA VIFARANGA VYA KLOILA

subram

Member
Joined
Feb 6, 2018
Posts
23
Reaction score
10
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082

SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha nzuri sana
Huanza kutaga kuanzia wiki 18-20
Hutaga kwa miaka miwili mfululizo
 

Attachments

  • DSC_0097.JPG
    DSC_0097.JPG
    567.2 KB · Views: 3
  • DSC_0094.JPG
    DSC_0094.JPG
    648.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom