Nauza vifaranga vya kuku mwezi mmoja pamoja na kutoa mafunzo ya kufuga kibiashara

kepha joseph

Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
14
Reaction score
4
Habari zenu ndug wana JamiiForums,

Kama mada inavyojieleza hapo juu mimi kijana mjasiliamali ninaye jiusisha huduma uuzaji wa vifalanga vya kuku wa kienyeji na chotara wa mwezi mmoja na vilivyo na chanjo pia ninatoa mafunzo kwenye vikundi, taasis, mtu binafsi juu ya ufugaji kibiashara hasa hivyo mnaweza nialika.

Napatikana mkoa wa Mwanza Mawasiliano WhatsApp & Call 0694103055 KP FARM MIFUGO NI AJIRA
 
Weka bei elekezi kwa kila bidhaa, pia ofisi yako iko wapi?

Weka picha ya bidhaa zako
 
Habar zenu ndug wana Jamii forum kama mada inavyojieleza hapo juu mimi ni kijana mjasiliamali ambaye ni mzoefu pia mmiliki wa KP FARM ninauza wa vifalanga vya kuku kienyeji na chotara wa umli wa mwezi mmoja pia ninatoa mafunzo ya ufugaji kibiashara kwenye taasisi,kampuni,vikundi,mtu binafsi hivyo unaweza kunialika napatikana mkoa wa mwanza Mawasiliano yangu whatsapp & call 0694103055
 
Mawasiliano 0694103055 ofisi yangu ipo mwanza nyakatoView attachment 3039977View attachment 3039978
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…