Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,448
- 1,624
habari za mida wanajamvi. Mimi Ni mjasiliamali nipo songea nauza Vifaranga vya kienyeji na chotara vya Malawi. bei zetu Ni nafuu sana tunapokea oda kutoka mahali popote ambapo usafiri wa kutoka songea Ni siku moja. usafiri Ni bure kabisa. hivi Ni vizuri hasa kwa wafugaji wa Kuku wa kienyeji kwaajili ya nyama. pia ukitaka kufuga wa Mayai wanataga sana na majogoo Ni makubwa sana. nyote mnakaribishwa. Naweza supply hadi Vifaranga 1000 kwa Mara moja. pia kama unahitaji incubator zinapatikana zenye uwezo wa kubeba Mayai 1000 kwa Mara moja. kwa mawasiliano zaidi quote hii thread au piga simu 0767865531.