Nauza vifaranga wa Kware, umri wiki mbili, TZS 3,500/=

Nauza vifaranga wa Kware, umri wiki mbili, TZS 3,500/=

Kinombo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2007
Posts
331
Reaction score
34
Wapo vifaranga wa Kware - Out of Town Poultry Farm, umri wiki mbili bei TZS 3500 kwa kimoja, wasiliana nami +255785738738. Mayai pia yapo kwa TZS 18000 kwa tray ya mayai 30.
 
Mkuu unauza ghari sana mayai, wenzio wanauza 15,000/ now days wafugaji wa kware ni wengi
 
Tanzania watu hufata sana speculations. Leo ukiamka useme bata ana faida ya hiki kila mtu atataka ale au afuge bata na bei itapanda zaidi, ila hakuna scientific proof kuwa kware ana vitamins nyingi kuliko kuku etc.
 
Tanzania watu hufata sana speculations. Leo ukiamka useme bata ana faida ya hiki kila mtu atataka ale au afuge bata na bei itapanda zaidi, ila hakuna scientific proof kuwa kware ana vitamins nyingi kuliko kuku etc.

acha ujinga..... scientifically quail (Kware) is a bird that has the most protein value (28%protein content) of all aves

wewe unachujua ni vitamins tuu .... jifunze kujifunza
 
Tanzania watu hufata sana speculations. Leo ukiamka useme bata ana faida ya hiki kila mtu atataka ale au afuge bata na bei itapanda zaidi, ila hakuna scientific proof kuwa kware ana vitamins nyingi kuliko kuku etc.

Kware wenye virutubisho ni wale wa porini wanaojichagulia what to eat, sio haya makware ya kufugwa.
 
acha ujinga..... scientifically quail (Kware) is a bird that has the most protein value (28%protein content) of all aves

wewe unachujua ni vitamins tuu .... jifunze kujifunza

Kati yangu na wewe nani mjinga, maana umekuja na matusi hata thread si yako
 
Ilaaa kware wa porin ndio safi..Hawa tunaowapaa haya mavyakula ya kisasa sizani...
 
Mdau ukishawapa chanjo ya newcasto Kware unaendelea kuwapa amini total Vifaranga had muda gan
 
Hii biashara naipa hadi December hakuna utakaye sikia anauza wala kufuga, watu tunakurupuka bila tafiti tunafanya kwa sababu ya story za vijiweni, tunakaa vijiweni kuaminishana kwamba inawezekana, mataokeo yake inakuwa ni shida biashara kama hii ya kware unajikuta ni biashara kati ya producer na producer na si kati ya producer na consumer, wengi wanao nunu na wao wanataka kufuga ila ki uharisia hakuna wateja, wa hii kitu na mtu akinunua mara moja akona hakuna ishu harudii tena, Jamii haijui kware,
 
Mkuu unauza ghari sana mayai, wenzio wanauza 15,000/ now days wafugaji wa kware ni wengi


mkuu subili hadi December mwaka huu hii biashara itakuwa ndo mwisho, hii ni pyramid business,
 
Hii biashara naipa hadi December hakuna utakaye sikia anauza wala kufuga, watu tunakurupuka bila tafiti tunafanya kwa sababu ya story za vijiweni, tunakaa vijiweni kuaminishana kwamba inawezekana, mataokeo yake inakuwa ni shida biashara kama hii ya kware unajikuta ni biashara kati ya producer na producer na si kati ya producer na consumer, wengi wanao nunu na wao wanataka kufuga ila ki uharisia hakuna wateja, wa hii kitu na mtu akinunua mara moja akona hakuna ishu harudii tena, Jamii haijui kware,
Humu ndani bwana!!!!!!!!,
Mara utasikia mlongeeee mlongeee sasa nasikia kwàaareee kwaaree,aaah maisha ya maigizo mm siyawezi watu wanataka kufuga hata visivyofugika.vitu vya kufuga sio vizuri kama vya porini labda uvifugie porini.tupa kule mlonge nimepanda ila kware hamnipati ng'o...labda litokee liprofesa kama lililovumbua kware liseme kiku ni haramu
 
Back
Top Bottom