Nauza vifuniko vya asali wanawake wote karibuni.

kwan Daby wanene wanatumia kifuniko au mfuniko ? hapo kama pamenichanganya
 
sasa tatizo mbona vifuniko vyenyewe vinaacha kopo liko wazi asali itamwagika jamani wahurumie wenzio vina matobo
Hivyo vitobo vya kuingiza kaupepo mkuu.....asali isije ikaganda kwa kukosa kaunyevu ka upepo.
 
Hapo kwenye kutuma umbo hapooo, utumiwe umbo! watanzania mmekuwa wabunifu wa kutafuta shape wanazotaka. Mkuu nitapata bikini
Zipo amatolo za kutosha sema rangi huku ukijisogeza nikupime....

Usichelewe mzigo unaisha haraka.
 
Hahaha...
Eti wanene mtusaidie hapa...wenu ni vifuniko au mfuniko?
si unajua vifuniko au kifuniko ni kidogo tu ila mzigo mzito, kitu mtetemo lazima utafute mfuniko heavy mzinga wa asali upate coverage yakutosha.
 
mkuu nipo hapa ukihitaji mtu wa delivery
 
Anaetaka kuninunulia hiyooo ya picha ya pili kutoka chini, aseme nimpe mwongozo
 
Ulimfanya nini mpaka akimbie?, kama salehe mtundu hivo, baba ake je si atakua zaidi ndyo maana akakukimbia ,umekomeshwa [emoji3]
Alinisaliti anyway ni story ndefu sitaki kukumbuka maana nkikumbuka hua ninalia nishamsamehe

Maisha yanaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…