JOH CARLOS
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 579
- 269
Vina risiti?
Anakula Kwa urefu wa kamba yake...Aisee kweli kila mtu na ma file yake
Hizi si ni kama nyara za serikali?..maana lami kwa sehemu kubwa ni mali ya serikali.
Hivyo kwa maneno mengine Wateja unaowatafuta kwa sehemu kubwa ni Serikali...au ni nini kingine inakata?.
Hizi si ni kama nyara za serikali?..maana lami kwa sehemu kubwa ni mali ya serikali.
Hivyo kwa maneno mengine Wateja unaowatafuta kwa sehemu kubwa ni Serikali...au ni nini kingine inakata?.
Bila shaka Mkuu.bado kuna mambo mengi huyajui,endelea kujifunza
Yapo makampuni mengi yanayojihusisha na ujenzi wa barabara na madaraja. Come on mbuzi meeeeeHizi si ni kama nyara za serikali?..maana lami kwa sehemu kubwa ni mali ya serikali.
Hivyo kwa maneno mengine Wateja unaowatafuta kwa sehemu kubwa ni Serikali...au ni nini kingine inakata?.
Kawaulize wajenzi watakupa elimi zaidi..Hizi si ni kama nyara za serikali?..maana lami kwa sehemu kubwa ni mali ya serikali.
Hivyo kwa maneno mengine Wateja unaowatafuta kwa sehemu kubwa ni Serikali...au ni nini kingine inakata?.