Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
ila Nini mkuu
Karibu bossAhsante kwa taarifa...
Khahawa!!! Karibu boss tukuhudumieKha!!
Kuna madizaina wanazitumiaga hizi, karibu mjiniHizi si takataka kweli?
Vinatumika kutengenezea vile tunaweka milangoni kukanyagiaHizi si takataka kweli?
Asante kwa kunisaidia... Lakini pia vinatumika na wabuni kudizaini mapamboVinatumika kutengenezea vile tunaweka milangoni kukanyagia
Wanatupa helaWenzio wanayatupa tu, au wanayagawa tu.
Amna takataka kwenye kichwa cha mtu mwenye kuwaza outside the box , hii ndo tofauti ya mataifa maskini na mataifa yaliyo endelea,Hizi si takataka kweli?
😀😀 Agiza soda boss nalipiaaaAmna takataka kwenye kichwa cha mtu mwenye kuwaza outside the box , hii ndo tofauti ya mataifa maskini na mataifa yaliyo endelea,