INAUZWA Nauza viti na meza vya mbao kwa ajiri ya mgahawa

waguna

Member
Joined
Jun 19, 2020
Posts
14
Reaction score
31
NAUZA MEZA NA VITI VYA MBAO
meza 3 za chakula
Meza 2 kubwa kwaajiri ya counter ya mhagawa
Kuna viti 11 vipo fresh ni bado vipya vilitengenezwa kwaajiri ya mgahawa sasa vinauzwa kwa dharula
Vyote 800k
Pia kuna microwave ya mtumba BEI 50000
Call 0746484643









 
Naona biashara ya mkahawa imeanguka. Mbona tunaambiwa kuwa mkahawa ndiyo biashara nzuri kwa sababu watu ni lazima wale? Au ulikosea location mkuu? Si vibaya ukotupa changamoto kidogo ulizokumbana nazo katika biashara hii...

 
Mimi nikichanga moto tafuta atakae changa unga na maji afu wewe utachanga pilipili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…