mjasiliamali14
Senior Member
- Jan 5, 2014
- 147
- 21
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo ndani ya tanzania hii aliyetayari naomba anipm