Nauza vitunguu kwa gunia

Nauza vitunguu kwa gunia

mjasiliamali14

Senior Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
147
Reaction score
21
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo ndani ya tanzania hii aliyetayari naomba anipm
 
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipjo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangvu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo ndani ya tanzania hii aliyetayari naomba anipm

Mkuu vipi kile kilimo cha mihogo? Ulikifanya?
 
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo ndani ya tanzania hii aliyetayari naomba anipm

mimi nataka kwa mafungu
 
Biashara pm tulikataa. Mambo hadharani, unless ni haramu.
 
Biashara pm tulikataa. Mambo hadharani, unless ni haramu.

Ulikataa na nani, wengine huogpa ushindani si kila kitu haramu, watu dizain yako huwa si wanunuaji, na mara nyingi majukwaa yenu MMU, bisha tuchimbe profile yako humu. Kaa hivyo hivyo wenzako biashara zinaendelea huko PM
 
Ulikataa na nani, wengine huogpa ushindani si kila kitu haramu, watu dizain yako huwa si wanunuaji, na mara nyingi majukwaa yenu MMU, bisha tuchimbe profile yako humu. Kaa hivyo hivyo wenzako biashara zinaendelea huko PM

Kwa hasira za fasta hivi huuzu ng'o!
 
unauzaje gunia na lina uzito gani?namaanisha lina kilo ngapi za vitunguu?
 
Kwa hasira za fasta hivi huuzu ng'o!

Machozi ya samaki, si nimesema wewe si mnunuaji, kushabikia kutokuuza hapa kunatoka wapi, teteteh by the way mimi sio muuzaji wa vitungu mi zangu mashamba ya miti njombe karibu uwekeze acha kushinda MMU haikuzi kipato.
 
unauzaje gunia na lina uzito gani?namaanisha lina kilo ngapi za vitunguu?

Hata mimi ninavyo mkuu viko Morogoro. Gunia nasikia lina range kwenye kilo 100 - 120 kutokana na jinsi lilivyojazwa. Ukija shambani nakuuzia Kwa 80,000 tu. Yaani unakuja na magunia yako unajaza unashona unanipa pesa unapakia unafirisha kwenda masokoni.
 
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo ndani ya tanzania hii aliyetayari naomba anipm
pls weka bei basi,kama ni kwa gunia au kisado
 
unaonesha hujiamini afu unakibu, hutaki kueka bei hadharan who would want to do business with u?..ni sawa na kufungua duka na kumueka muuzaj afu umwambii bei kila mteja akija ngoja nimpigie boss simu
 
unaonesha hujiamini afu unakiburi, hutaki kueka bei hadharan who would want to do business with u?..ni sawa na kufungua duka na kumueka muuzaj afu umwambii bei kila mteja akija ngoja nimpigie boss simu
 
Machozi ya samaki, si nimesema wewe si mnunuaji, kushabikia kutokuuza hapa kunatoka wapi, teteteh by the way mimi sio muuzaji wa vitungu mi zangu mashamba ya miti njombe karibu uwekeze acha kushinda MMU haikuzi kipato.

teh teh teeeeeh. Haya we.
 
Back
Top Bottom