mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Weka picha basiWana jf, nauza viwanja.
sifa zake
1. vimepimwa na vina hati miliki ya serikali kuu.
2.via ukubwa kuanzia sq. 900 hadi 1300
3.vipo msongola manispaa ya ilala hapa Dar es salaam
4.mawasiliano 0769 366 192 / 0784 535 260, piga au tuma sms.
5.sihitaji Dalali.
6.Karibu kabisa na bara bara kuu inayotoka mmbande kuelekea chanika.
7.Viwanja vyote ni vizuri.
Nashukuru kwa mtazamo, nilikuwa bado sijalipiga picha eneo.Weka picha basi