KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Viwanja vinauzwa maeneo ya Kihalaka Mapinga. Eneo Nizuri sana kilometa 5 kutoka barabara ya lami. Ukubwa vyote ni sqm 4100 kuna banda la mita 30x 10, vyumba ya vyumba 3, store, jiko la nje, kisima cha maji. Umeme wa Tanesco na bomba la maji vinapita jirani barabarani. Ni eneo karibu na kambi mpya ya jeshi inapojengwa na karibia na ukumbi mkubwa wa KKKT.
No 18 mpaka 21 sqm ni elfu 20000/=
Contact 0688300088
Samsung SH 8 Mobile Traveller
No 18 mpaka 21 sqm ni elfu 20000/=
Contact 0688300088
Samsung SH 8 Mobile Traveller