Wewe hata mawazo huna yakuwa nakiwanja unategemea kwa ufukara wako utakuta kiwanja samora??kaa hivyo hivyo nakuwaza umbali watu wapo bagamoyo'kibaha sembuse mapinga nimekuweka kiporo najua utakuja siku nyingine.umbali wote huo bado sqm 20,000
If you can take one. Huko mbele hii ardhi haitapatikana. Sema tatizo ni hela.umbali wote huo bado sqm 20,000
nikikujibu ntapata aibu.Wewe hata mawazo huna yakuwa nakiwanja unategemea kwa ufukara wako utakuta kiwanja samora??kaa hivyo hivyo nakuwaza umbali watu wapo bagamoyo'kibaha sembuse mapinga nimekuweka kiporo najua utakuja siku nyingine.
Samsung SH 8 Mobile Traveller
Bado sijawelewa, nikitoka bunju upande wa kushoto upande wa bahari? Ukienda kushoto c unaenda Vikawe?Ukitoka Bunju baada ya daraja tu unaenda kushoto upande wa bahari ndiyo mapinga kihalaka
Naomba unisikie kwa makini....."Ukiwa unatoka Bunju B, unaelekea mapinga kuna daraja kubwa kuna kituo cha mali asli huwa wanakamata wanao beba mkaa sasa baada ya hilo daraja upande wako wakulia kuna barabara inaeleke kulia ndiyo sehemu inaitwa kihalaka sasa ndugu yangu BARRY naona upuyanga au dar haujui vizuri uliza tukwambie wazawa.Bado sijawelewa, nikitoka bunju upande wa kushoto upande wa bahari? Ukienda kushoto c unaenda Vikawe?