BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Kamera ina wifi inayojitegemeaKwa maeneo ambayo hiyo Wi Fi haisapoti, inakuwaje? Ufafanuzi tafadhali.
Swali lako sijaelewa nduguJe hairekod halafu wew ukirud una recall.?
Ndio nilvyomaanisha.so inabdi uitoe memory card uiweke kweny kitu cha kuitazamia.Swali lako sijaelewa ndugu
Au unamaanisha Ukirudi unatazama
Kama ni hivyo ndio inawezekana kutazama maana kamera inahifadhi matukio kwenye Memory Card
Bei mbn kubwa sana angalau kuagiza ali express 30kInarecord Video Na Sauti
Inafaa kwa ofisini au nyumbani
Ina uwezo wa Wifi hata ukiwa mbali utapata taarifa
Camera 2 MP
Nakupa Na Memory card ya 128 GB Bure
Night vision
Rotation 360 Degree
BEI elfu 80 TZS
Dar es Salaam, kigamboni
Call
0718295182
0765505909
View attachment 2765022View attachment 2765023View attachment 2765021View attachment 2765019
NdioNdio nilvyomaanisha.so inabdi uitoe memory card uiweke kweny kitu cha kuitazamia.
Mkuu hizo sio za Aliexpress ni biashara huru Unaweza AgizaBei mbn kubwa sana angalau kuagiza ali express 30k
Ni za wapi kama siyo AliExpress? Hata brand name hamna.Mkuu hizo sio za Aliexpress ni biashara huru Unaweza Agiza
Kwani tunashindana kujua ni wapi nachukulia mzigo wanguNi za wapi kama siyo AliExpress? Hata brand name hamna.
Umemjibu vizuri sana. Kama ameona za bei rahisi akanunue huko na si kuja kuchafua biashara za watu. Wabongo ujuaji mwingi na ilihali hatuna tujualo.Kwani tunashindana kujua ni wapi nachukulia mzigo wangu
Ishu Ni kua kama unahitaji za Aliexpress, we Agiza kiasi unachotaka, hakuna wa kukuzuia
ila usinipangie bei ya kuuza eti sababu umeona sehemu wanauza kiasi fulani uje hapa unikadilie na kukosoa biashara yangu
Mwamba mbona umeshupaza fuvu kulazimisha unachotaka wewe katika biashara ya mtu. Si uagizie huko AliExpress? Kwani kakuwekea kisu cha shingo ununue kwake?Ni za wapi kama siyo AliExpress? Hata brand name hamna.