Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
Mtendee Bar Bado Hipo hapo Colombia?Vipi wale jamaa waliokuwa wanakaa njee Hapo Bado wapo?Ni muda atujaonana Ndugu yangu.Siku hizi umeacha kuvuta ile Bangi yetu ya Tunduma na sasa umehamia ya Longido nini Mkuu mbona hueleweki na kama vile tayari kuna ' Nyaya ' fulani katika mbichwa wako huo mkubwa kama Matairi ya Gari za Migodini zimeachana njia panda ya Kigogo?
Pengine tunafanana mawazo mkuu 'BIG UP' mimi mwenyewe kuna watu hawanipendi na hakuna nilichowakosea na wengine wananipenda na hakuna kizuri nilichonacho hila still life goes on....Hiyo inatokea naturally mkuu,bila kisa kutomkubali mtu fulani...the same na mimi yaani katika members woote wa JF wewe sijawahi kukubali kabisa mkuu sijui kwanini...licha ya watu wengi humu kukufagilia lakini mimi wala...kila nikijifosi nikuelewe nafc inagoma kbs yani automatically.hata kama utaandika nondo humu jf mie kwangu naona pumba tu.
Samahani lkn kama ntakukwaza maana,nami nimeeleza ya moyoni na rohoni km ulivojipambanua kwa Kajala..no offence.
Vizur mkuu uzi wako ungekuwa ndio hii post wallah nakwambia usingekuwa dis-appointed na mimi wachana na akina kajala shusha nondo za uhakika...... kama nimekukosa nichukulie hivo hivo siko full packageWala usihofu Mkuu Kibinadamu una haki zote za Kumchukia tu Binadamu mwenzio na wala usiogope labda sijui ukisema unanichukia au hunipendi au hunikubali nitakasirika na pengine kukutukana kwani GENTAMYCINE yule wa 2013 hadi 2017 siyo huyu wa sasa wa 2018. Mwaka huu nimeazimia nitakuwa naongozwa zaidi na Diplomasia katika Mawasiliano yetu na Mimi nimejiteua mwenyewe kuwa Kiranja Mkuu na Mpatanishi wa wale Members wote wanaogombana na kutukanana humu Jamvini na nataka mwaka huu wa 2018 JamiiForums isiwe sehemu ya matusi bali iwe sehemu ya Watu kupata madini ya akili / upeo zaidi ili yaweze kutusaidia kuelimisha na kustawisha Jamii zetu huku mitaani ambazo Kiukweli nyingi sana zinahitaji haya maarifa yetu Sisi Members wa JF ili nazo zipige hatua za Kimaendeleo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ila kajala kwa kupiga jeki
mbaya zaidi anatumia jeki ya scania kuinulia passo
Aiseee ndio maana tulikumissSasa kama hadi napendwa na akina Jennifer Lopez na Beyonce Knowles Mimi huyo Kajala wenu wa nini? Kwanza najua Kajala ikitokea tu akaniona anaweza akanilazimisha afunge Ndoa na Mimi siku hiyo hiyo.
Leo Kazi ninayo hakyanani!
Kwani ana bendiAnaweza kukubaka kabisa!
Ila nasikia anacharanga guitar vizuri sana...la Daliki moko.
Jf sihamii,,jf idumu mileleHiyo inatokea naturally mkuu,bila kisa kutomkubali mtu fulani...the same na mimi yaani katika members woote wa JF wewe sijawahi kukubali kabisa mkuu sijui kwanini...licha ya watu wengi humu kukufagilia lakini mimi wala...kila nikijifosi nikuelewe nafc inagoma kbs yani automatically.hata kama utaandika nondo humu jf mie kwangu naona pumba tu.
Samahani lkn kama ntakukwaza maana,nami nimeeleza ya moyoni na rohoni km ulivojipambanua kwa Kajala..no offence.
HahahaUlinipokea Airport?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] heri ya mwaka mpya GentamycineSasa kama hadi napendwa na akina Jennifer Lopez na Beyonce Knowles Mimi huyo Kajala wenu wa nini? Kwanza najua Kajala ikitokea tu akaniona anaweza akanilazimisha afunge Ndoa na Mimi siku hiyo hiyo.
Leo Kazi ninayo hakyanani!
Kajala ndio nani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] heri ya mwaka mpya Gentamycine