Biashara njemaTunachonga stretch marks nzuri na za kuvutia kwa bei chee, huduma popote hata mikoani tunakufikia... karibu sana.[emoji12]
Inaonekana stretch zipo za kibabe, hongera sana[emoji13][emoji13][emoji13]Biashara njema
Sa itakuwaje CreditAnalyst
Zipo kiasi chakeInaonekana stretch zipo za kibabe, hongera sana[emoji13][emoji13][emoji13]
Mimi kwa mabinti nisahauliweMwana FA Mabinti one of mafavourite kipindi hicho siku mtu aje atuchambulie wale mabinti waliotajwa mule wako wapi na wanafnyanini
Kagoogle
Sawa
Hongera ya Nini?
Nitakubonda
Thubutuuuu
Kaka punguza mikwara basi
Vipi mkuu umepona Yutiyai?Jina lako linanikwaza. Ss wa imani hiyo hatutaki majina matakatifu kutumika ovyox2 ujue!!!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Punde si punde nyuki wakanivamia [emoji23][emoji23][emoji23]Haya ni matiketi ya uzi kufutwa..
Punde si punde mods watavamia[emoji23]