Alijua wazi kabisa huwezi kufanya mambo mawili magumu kwa wakati mmoja, akaona aache cheo kikubwa kabisa cha uwaziri mkuu ili kwenda kutimiza adhima yake ya kujiendeleza kielimu huko nchini Yugolavia ya wakati ule.
Wanzetu hawa utaona leo ni waziri na kesho amedoctorate sasa huwa utafiti wanafanya wakati gani na uwaziri wanafanya wakati gani mbona mwenzaoSokoine alishindwa kufanya mambo wawili kwa wakati mmoja?
Tunarudi kule kule kwenye elimu ya vyeti faki, mawaziri kuwa na shauku ya kudoctorate inawahamasisha na wengine nao kutaka wadhifa wa U docta, ili aitwe doctor fulani, inafanana kabisa na mtu mmoja kwenye basi akiomba basi lisimame akachimbe dawa basi basi lote abiria wanashuka kuchimba dawa. Sasa hawa mawaziri waliodoctorate wakiwa kazini wanahamasisha na mawaziri wengine waliobasi waunge tela basi bunge zima watakuwa madocta mwisho wa siku.
Wanzetu hawa utaona leo ni waziri na kesho amedoctorate sasa huwa utafiti wanafanya wakati gani na uwaziri wanafanya wakati gani mbona mwenzaoSokoine alishindwa kufanya mambo wawili kwa wakati mmoja?
Tunarudi kule kule kwenye elimu ya vyeti faki, mawaziri kuwa na shauku ya kudoctorate inawahamasisha na wengine nao kutaka wadhifa wa U docta, ili aitwe doctor fulani, inafanana kabisa na mtu mmoja kwenye basi akiomba basi lisimame akachimbe dawa basi basi lote abiria wanashuka kuchimba dawa. Sasa hawa mawaziri waliodoctorate wakiwa kazini wanahamasisha na mawaziri wengine waliobasi waunge tela basi bunge zima watakuwa madocta mwisho wa siku.