JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Wataalam wa Afya wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kunawa mikono kama njia kuu ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine
Tunaponawa mikono tunaondoa vijidudu kwenye mikono yetu kutoka kwenye sehemu mbalimbali tulizogusa
Mkono ambao huutumia kugusa usoni mara kwa mara na kuhakikisha hutumii kufungua milango, kubeba ama kupokelea vitu kutoka kwa wengine
Upvote
0