Nawaaga JamiiForum kwaherini

Nawaaga JamiiForum kwaherini

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Salaam wakuu,

Jamii Forum ina mambo mengi mazuri kuanzia mijadala ya siasa, makazi na ujenzi, hoja na habari, mahusiano, biashara nk nk.

Niweke wazi nimekua addicted na JF muda mwingi nipo JF hata wakati wa kutekeleza majukumu yangu najikuta nimechepuka niko JF, mke wangu ananilaumu muda wote niko jf simjali, wakati wa kula nakula huku mkono wa kushoto nimeshikilia simu nipo JF.

Hii sasa imekua ni addiction, naamua kuachana na jf kwarerini wote niwatakie pasaka njema.

Nitarudi baada ya dakika 15 🤣🤣🤣🤣

20211023_122141.jpg
 
😅😅😅😅😅😅sawa pasaka njema
 
Kama unataka kujiua usitumie sumu,kamba au kisu cha gharama.Na uhakikishe umechimba kaburi lako na uingie mwenyewe kabla haujayaomba maisha pooh! Bwana akurehemu!
 
Salaam wakuu,
Jamii Forum ina mambo mengi mazuri kuanzia mijadala ya siasa, makazi na ujenzi, hoja na habari, mahusiano, biashara nk nk.

Niweke wazi nimekua addicted na jf muda mwingi nipo jf hata wakati wa kutekeleza majukumu yangu najikuta nimechepuka niko Jf, mke wangu ananilaumu muda wote niko jf simjali, wakati wa kula nakula huku mkono wa kushoto nimeshikilia simu nipo jf.

Hii sasa imekua ni addiction, naamua kuachana na jf kwarerini wote niwatakie pasaka njema.

Nitarudi baada ya dakika 15 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2190544
Haka ka mtandao kana addiction balaaa... Kumbe siyo pekee yangu.
 
Kama umepigwa tukio sema upate msaada😂😂...usilete visingizio
Pasaka njema mpendwa
Hapana tukio mkuu.
Kama unataka kujiua usitumie sumu,kamba au kisu cha gharama.Na uhakikishe umechimba kaburi lako na uingie mwenyewe kabla haujayaomba maisha pooh! Bwana akurehemu!
Mkuu umesoma ukaelewa kabla ya kucomment ?
 
JF ina addiction
Kipindi nasoma ilibidi niuze simu ili nisiingie humu
Nikabaki na moderm na PC...ilisaidia sana

Wewe kama bado una simu inayoweza kukufanya uingie humu usituage kwanza

Ama labda kama umeamua kufungua ID mpya
 
Back
Top Bottom