Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
mmoja tu ndio anatakiwa kuvaa kondomu wakivaa wawili possibility ya kupasuka inakuwa kubwa sana mpira kwa mpira na ladha inashuka mnooo
Mi niko interestedi zaidi na kujua kifaa anachotumia bwana Tolu kutoboa kondomu. Sindano? Pini au Mwiba?
1.ukweli siku zote unauma.naona wameamua kumfunga kwa kamba zake mwenyewe,ila ushuhuda ulioutoa nao umechangia.
Hahahaha! LOLUsiniambie mpwa unataka kujaribu kama hiyo njia anayotumia inaweza kweli kutoboa au la,na ikishatoboka inakuwaje!!!! Maana wengine udadisi mlianza tangu mkiwa tumboni.
Asante sana Tall kwa upendo wako juu ya kina dada..
Kama wapo wenye tabia mbaya na ukatili wa jinsi hii lazima iko siku watajutia maamuzi yao mabovu
1.kuna mtu hapa kakiri wazi kuwa alishafanya hivyo.usiniambie mpwa unataka kujaribu kama hiyo njia anayotumia inaweza kweli kutoboa au la,na ikishatoboka inakuwaje!!!! Maana wengine udadisi mlianza tangu mkiwa tumboni.
Sema Tall,usiwaogope maFATAKI.ushawaharibia dili zao.1.ukweli siku zote unauma.
2.najua nilishawaharibia baadhi ya watu madili yao ya kutoboa..........
SASA BADO NI ASUBUHI,LAKINI LABDA NIKUULIZE SWALI MOJA MKUU,HADI SASA GLASS NGAPI UMELAMBA? MAANA NAWEZA ONGEA NA WEWE KUMBE MWENZANGU UPO NZWEEEEEE,TUTAELEWANA?ANGALIA NILISHAPOKEA THANKS MBILI HADI SASA.......UNAFIKIRI HAO WANAKUONAJE?................................ HALAFU NIMESEMA WAZI ''NAWAANDIKIA DADA ZANGU''MIMI NILIDHANI.....HAIKUHUSU HII THREAD ,KUMBE!!!!!!....UNAJUA UKIMKAMATA MWIZI,RAHISI SANA KUKUGEUZIA WEWE KIBAO......HAPO WAJANJA WALISHAJUA NANI MTOBOAJI NA NANI SI MTOBOAJI..........KWA THREAD HII LAZIMA LEO MKAKAGULIWE.....ha ha ha ha ha poleni sana,aaaaaah potelea mbali mmezidi.FIKIRINI NA MAISHA YA WENZENU.....SIYO TALL KAWAHARIBIA.......BADILIKENI....samahani kama nakukwaza.Hahahaha! LOL
Kwanza nijue kifaa. Nikishakijua ntarudi kwa mtaalamu wa utoboaji mheshimiwa sana TOLU anipe faida na hasara zake. Baada ya hapo ntajua cha kufanya. TOLU pliiiz, hebu nambie huwa unatoboa hizo kondomu kwa kifaa gani?
aaaaaah wamezidi........Heeeh dada huogopi kuwaita MAFATAKI? hawa ni vigogo wa JF,watakugeuzia kibao? hawachelewi.......lakini mimi nilishawasamehe,hawajui walitendalo.Sema Tall,usiwaogope maFATAKI.ushawaharibia dili zao.
I AM TIRED OF ILLUSIONS !!!!!!!!!!!!!!!!!!Sema Tall,usiwaogope maFATAKI.ushawaharibia dili zao.
Na nyingine hiyo hapo chini!!!SASA BADO NI ASUBUHI,LAKINI LABDA NIKUULIZE SWALI MOJA MKUU,HADI SASA GLASS NGAPI UMELAMBA? MAANA NAWEZA ONGEA NA WEWE KUMBE MWENZANGU UPO NZWEEEEEE,TUTAELEWANA?ANGALIA NILISHAPOKEA THANKS MBILI HADI SASA.......UNAFIKIRI HAO WANAKUONAJE?................................ HALAFU NIMESEMA WAZI ''NAWAANDIKIA DADA ZANGU''MIMI NILIDHANI.....HAIKUHUSU HII THREAD ,KUMBE!!!!!!....UNAJUA UKIMKAMATA MWIZI,RAHISI SANA KUKUGEUZIA WEWE KIBAO......HAPO WAJANJA WALISHAJUA NANI MTOBOAJI NA NANI SI MTOBOAJI..........KWA THREAD HII LAZIMA LEO MKAKAGULIWE.....ha ha ha ha ha poleni sana,aaaaaah potelea mbali mmezidi.FIKIRINI NA MAISHA YA WENZENU.....SIYO TALL KAWAHARIBIA.......BADILIKENI....samahani kama nakukwaza.
Yooobheeee....Tall umepasua condom?
hivi mpaka mwanaume anatoboa kondom wewe unakuwa wapi?....mie nilikuwaga makini kupita maelezo, kwanza lazima nikuvalishe mwenyewe, hutaki vaa kakaptula kako utulie.
BHT hajambo? mwambie dadake nimem mic.
mkuu kwa mfano mtu ukiwa na konyagi tatu kichwani......everything will be illusions to you.i am tired of illusions !!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni!:a s-rose:
Na nyingine hiyo hapo chini!!!
The following user says thank you to tall for this useful post:
Chrispin (today)
hiyo ni busara.au naenda na yangu....basii
hivi mpaka mwanaume anatoboa kondom wewe unakuwa wapi?....mie nilikuwaga makini kupita maelezo, kwanza lazima nikuvalishe mwenyewe, hutaki vaa kakaptula kako utulie.
Leo ndio nimejua, kumbe uliolewa ukiwa huna bikira!!hivi mpaka mwanaume anatoboa kondom wewe unakuwa wapi?....mie nilikuwaga makini kupita maelezo, kwanza lazima nikuvalishe mwenyewe, hutaki vaa kakaptula kako utulie.
Leo ndio nimejua, kumbe wewe si muaminifu (unaendaga gesti na kondomu zako kudumisha mila)au naenda na yangu....basii
Na wewe sasa utaharibu subiri niendelee na utafiti wangu. Watastuka hawa!Ha ha ha ha ha,enzi za mwalimu zilikuwa zina mambo.Hapo kwenye red umeniacha hoi bin taabani.