Nawaandikia dada zangu wapendwa.

.........Apandacho mtu ndicho atakachovuna.........Ole wao wafanyao hayo ,lazima watalipa.
 

mwanaume mwenye kumpenda na kumjali mkewe atafanya lolote kumlinda.....
 
mwanaume mwenye kumpenda na kumjali mkewe atafanya lolote kumlinda.....
You can say that again luv. Na mwanamke anayempenda mumewe atampikia, kumfulia, kumpigia pasi na kumpakulia chakula (cha mezani na cha usiku) bila mawaa.

Unatumia mvinyo gani?
 
yana mwisho haya!!mtakapo panga foleni CTC
na 2nd line iwe sugu(ikukatae)
 
Mada za Tall huwa zinanitatiza sana! Let me just keep quite~!
 
You can say that again luv. Na mwanamke anayempenda mumewe atampikia, kumfulia, kumpigia pasi na kumpakulia chakula (cha mezani na cha usiku) bila mawaa.

Unatumia mvinyo gani?

Then baba anamsaidia mama kuosha vyombo, kuvifuta, kuviweka kabatini, kutandikia watoto, nk
 
Then baba anamsaidia mama kuosha vyombo, kuvifuta, kuviweka kabatini, kutandikia watoto, nk
Askofu tutakupigia kura za kukosa imani na wewe (Unaidhalilisha infidelity first law of cheating)
 

Tobaaaaa
 
mada za tall huwa zinanitatiza sana! Let me just keep quite~!
usijali mkuu nitaanza kutoa mada rahisi rahisi zisizohitaji kufikiri kabla ya kuchangia. Hizi zingine bila ya kufikiri kwa makini utapoteza mwelekeo.....nadhani fasihi umeisoma/unaisoma vizuri/shuleni au chuoni.
 
usijali mkuu nitaanza kutoa mada rahisi rahisi zisizohitaji kufikiri kabla ya kuchangia. Hizi zingine bila ya kufikiri kwa makini utapoteza mwelekeo.....nadhani fasihi umeisoma/unaisoma vizuri/shuleni au chuoni.
Usianze kuogopa....Thats what GREAT THINKERS are here for.we dare to talk openly!
 
halafu wewe Kimey mbona unaleta za kuleta mie nimeandika wengine uwa wanavua wewe umebadilisha na kukuza maandishi nyie ndio ambao mnavalishwaga khanga kitaa kwa umbea
 
hongera sana funza, msema ukweli ni mpenzi wa mungu........ni jasiri, unakubali uliwahi kutoboa ila naona siku hizi umeacha au siyo mkuu?........hapo jibu ni ndio tu
 
You can say that again luv. Na mwanamke anayempenda mumewe atampikia, kumfulia, kumpigia pasi na kumpakulia chakula (cha mezani na cha usiku) bila mawaa.

Unatumia mvinyo gani?

ballantine....
 
Usianze kuogopa....Thats what GREAT THINKERS are here for.we dare to talk openly!
mmmmmh,hongera kubadili avatar,halafu unanipa kazi niwaze ipi ni nzuri zaidi....maana zote zinaonekana safi tu.
 
halafu wewe Kimey mbona unaleta za kuleta mie nimeandika wengine uwa wanavua wewe umebadilisha na kukuza maandishi nyie ndio ambao mnavalishwaga khanga kitaa kwa umbea


hee humu ndani kuna vituko leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…