Mkuu, na mimi nimerudi lunch, sasa tulikuwa tunaongelea nini tena vile??Hahahahaha! ngoja niende lunch kwanza. Kwa hiyo inakuwa kama jabulani siyo? Manake inawapa shida sana magolikipa eti!!
Nimerudi mwanzo,kama hujaoa? ruksa kufanya na walioolewa?Si vema kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa.....kuna wale ambao hufanya hivyo na wanalazimika kuvaa condom,kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu anaivaa,wewe unajua angalau upo salama kwa kiasi fulani kumbe sio.Hawa watu aidha wameathirika hivyo wanataka wafe na mtu au hawataki tu kuvaa condom:
USHAURI: KAGUA CONDOM KABLA YA MECHI.
Then baba anamsaidia mama kuosha vyombo, kuvifuta, kuviweka kabatini, kutandikia watoto, nk
Na kumfulia chupi zake of course!!!
Ulijuaje love? Kumfulia waifu makufuli ni thread inayojitegemea. Turudi kwenye mada kwanza!ewaaa, najua Chris ata complain hapa.
Si vema kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa.....kuna wale ambao hufanya hivyo na wanalazimika kuvaa condom,kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu anaivaa,wewe unajua angalau upo salama kwa kiasi fulani kumbe sio.Hawa watu aidha wameathirika hivyo wanataka wafe na mtu au hawataki tu kuvaa condom:
USHAURI: KAGUA CONDOM KABLA YA MECHI.
Kamanda hebu angalia nilichoitendea hii yuziful research yako:Nimerudi mwanzo,kama hujaoa? ruksa kufanya na walioolewa?
Hapa hommie naona kama nakuelewa kwa namna hii:Sasa hapa mbea nani kama kweli we "huvui" na "umesikia kwa watu wala hujadhibitisha" then unatuletea hapa!!
Great thinker at work!
Hapa ndipo tunaporudi kwenye maswali ya msingi, Kabla ya kuchangia hii topic, great thinkers walimuuliza tolu, Umetoboa ndomu wapi na lini kwa dada zetu hawa?Hapa hommie naona kama nakuelewa kwa namna hii:
Kwa hiyo umbea ni kusikia, na kutangaza kabla ya kuthibitisha? Ahaaaaaaa!
huyu kimey naona anataka kudandia kitu wakati kimesimama wima hajui madhara yake nilichoandika kakibadilisha halafu anajifanya great thinker namuhurumia hajui halitendaloHapa hommie naona kama nakuelewa kwa namna hii:
Kwa hiyo umbea ni kusikia, na kutangaza kabla ya kuthibitisha? Ahaaaaaaa!
Hommie kakaguee
ha ha ha Malizia msemo huo ungenishika nn?
VUVUZEEEEELA!!!!:dance:
hivi nyie hapo juu mnaelekea wapi?
Kwahiyo ukipata ugonjwa wa zinaa au ukimwi nao unakua mtamuu au? Ni suala la kutumia hiyo kinga kwa usahihi iwapo hujaoa/kuolewa na kama umeshindwa kujizuia. Vinginevyo huo ni upumbavu na ujinga. Sijui muhusika wa tendo hilo atakuwa anamkomoa nani?Sio hivyo banaaa..wanatoboa condom wapate mautamu ya kula jino kwa jino na nyama kwa nyama...si unajua inavyokuwaga tamuuu
Talking with experience.............eh vp ulijisikiaje ili niwe mwangalifu?huyu kimey naona anataka kudandia kitu wakati kimesimama wima hajui madhara yake nilichoandika kakibadilisha halafu anajifanya great thinker namuhurumia hajui halitendalo
Kakague,Nimekusomwa mpwa,
Mie sifanyi hivy ila nimefanyiwa na dada mmoja, yeye kaivuta kwa makusudi katikati ya safari, nikaamua nisamimishe gari ghafla na kushuka... siku hizi hakuna wa kumwamini jamani
By the way, Asante
Talking with experience.............eh vp ulijisikiaje ili niwe mwangalifu?
tunakusoma!!! it wont get out of hand! Ma-MOD tupo tunawatch kwa karibu!hehehehe wapo katika kampeni za kumuamsha invizibo. jana kuna mmoja kapelekwa segerea wiki mbili bila tahazari
He! Hommie! Alijisikiaje kudandia au kufanya nini?Talking with experience.............eh vp ulijisikiaje ili niwe mwangalifu?
Si utani. Unaliona hili vuvuzela la kumuamsha Invizibo hapa chini? Hakyanani labda awe na hangover!! Kuna mtu anaenda lupango muda si mrefu...
Ohhh! Thats my sissie!!! So democratic!!!Kimey my bro, plz wachana na hayo mambo, plz plz, ignore.