Nawaandikia dada zangu wapendwa.


Baada ya maluvluv ya hali ya juu sasa shughuli zinakaribia kuanza na njemba inajianda kuingia uwanjani na madaruga yake binti anaomba kukagua daruga kuhakikisha ziko salama ili naye awe salama njemba inakuja juu daruga zangu hizi mpya kabisa wala sijawahi kuzichezea popote pale sasa wewe wasiwasi wako wa nini?
Binti: Naomba nihakikishe kwamba ziko salama vinginevyo shughuli imevunjika
Njemba: Nimeshakwambia daruga zangu ni salama kabisa kama huniamini niambie sikuamini niingie zangu mitini.
Binti: Huu ni usalama wangu (huku akipandisha sauti) kama hutaki nikague daruga kuhakikisha mimi mwenyewe basi shughuli hakuna

Patamu hapo! Imagine njemba iliyokwishasaula kila kitu na kubaki kama alivyozaliwa na maspeed yameshampanda hadi utosini anapoambiwa shughuli hakuna. Kazi kweli kweli! lol! binti anaweza kabisa kubakwa!
 

nilikuwa nafanya hivyo nikaona kazi zinazidi.....tukaamua kwenda kupima
 

mvua 30 ujue!
 
Kondom zimepitwa na wakati na sio muafaka kwa watu ambao wana uhakika wa kurudia kumegana zaidi ya mara 3. MKAPIME
 
mvua 30 ujue!

hahahahahahahah J mvua 30 zitoke wapi? ulimsoma MJ1 wiki chache zilizopita alipoandika, "Siku nyingine huwa mnatubaka." Bahati mbaya au nzuri huwa hawasemi kama wamebakwa pamoja na kujua leo jamaa kambaka. Ingekuwa wanaenda mbele ya sheria na kushtaki kama wamebakwa basi wengi hizo mvua zingewanyeshea.
 
Afadhari maana hapa mlikuwa mnanisema mm moja kwa moja
Mi nilikuwa najiuliza huyu mtu leo vp???????????
BTW ilikuwa very enjoyable show. Keep it up wanaJF wa baraza hili.
Lidumu jukwaa la malavi-davi.
 
Kondom zimepitwa na wakati na sio muafaka kwa watu ambao wana uhakika wa kurudia kumegana zaidi ya mara 3. MKAPIME

HATA KUPIMA imepitwa na wakati,kuna watu (FATAKI) anakuwa nae wa kila siku,lakini anao wa pembeni kama mia moja hivi.Hivi huyu utamuweka kwenye kundi gani?
 
..Duh! we ni zaidi ya Al-qaida au Al-shabab mwanawane!!
 
hata kupima imepitwa na wakati,kuna watu (fataki) anakuwa nae wa kila siku,lakini anao wa pembeni kama mia moja hivi.hivi huyu utamuweka kwenye kundi gani?
nasikia siku hizi wanaitwa yellow pages
 
HATA KUPIMA imepitwa na wakati,kuna watu (FATAKI) anakuwa nae wa kila siku,lakini anao wa pembeni kama mia moja hivi.Hivi huyu utamuweka kwenye kundi gani?
Ndo maana tunasema HATUAMINIKI, Tunatabirika TU!!
 
HATA KUPIMA imepitwa na wakati,kuna watu (FATAKI) anakuwa nae wa kila siku,lakini anao wa pembeni kama mia moja hivi.Hivi huyu utamuweka kwenye kundi gani?

sasa kama unajua ni fataki unamng'ang'ania wa nini dadaangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…