Hii si sheria mkuu ni chakula cha akili kama ulivyokiita, cha kuambiwa changanya na chako. Winners don't do different things, they do things differently!Ahsante kwa chakula cha akili, bandiko zuri. lakini naamini kila mtu ana njia zake na mapito pia, nitafanikiwa kwa kuufuta moyo na akili, si kwa kufuata sheria na kanuni za wengne
Bandiko zuri sana.Hii si sheria mkuu ni chakula cha akili kama ulivyokiita, cha kuambiwa changanya na chako. Winners don't do different things, they do things differently!
Be strong mkuu naamini bado hujachelewa, ukimaliza mkopo anza kusave kidogo kidogo after months utakuwa umejaza kibaba. Wazo za kurudi shule si baya pia!