Nawachukia sana waendesha bodaboda

Nawachukia sana waendesha bodaboda

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Yeereeeeeh,

Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege.

Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa.

Siku, miaka na maisha yanaenda kasi sana.
 
Yeereeeeeh,

Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege.

Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa.

Siku, miaka na maisha yanaenda kasi sana.
Kwanza nicheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kicheko kikiisha nitatoa yangu machache

Nakusalimia Sana we mbeba zege
 
Yeereeeeeh,

Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege.

Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa.

Siku, miaka na maisha yanaenda kasi sana.
Hahahahah 🤣🤣🤣 Acha kubeba zege endesha bodaboda
 
Kumbe bodaboda wanafwaudu eeeee! Mie nawaonaga wehu wehu hivi!! na vile vi ndala vyao vya kupigia brake!!!
 
Yeereeeeeh,

Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege.

Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa.

Siku, miaka na maisha yanaenda kasi sana.

Kuna Mmoja aliniambia kuwa vile wanavyokaa katika Piki ( hasa Kiupande upande ) huku wakifanya 'Mikogo' yao mingi barabarani wakiendesha ndiyo huwafanyia hivyo hivyo Dada zetu na Mademu hali inayowafanya 'Kuwakuna' sana 'Wanatombana' nao.

Na ukiona tu Dada yako au Demu wako au Demu wa Mshikaji wako au Mkeo anapenda sana Kupanda au Kuiita Pikipiki ya 'Bodaboda' fulani kwa 99.999% jua Jamaa 'anamkojolea' kwa raha zake.
 
Back
Top Bottom