Nawachukia wanaume wachafu

Haya yote unatusimulia baada ya kuachwa, zama zile mapenzi moto moto huko kunakonuka na kutonyolewa ulikuwa ukikunyonya na kukulambalamba
hapana haisee sijapafanyia fair nilikuwa na kataa aiseee kuny kul🤮🤮🤮🤮
 
Hata WCB kuna secta wanapwaya hapo
 
Ulishindwaje kumbadilisha boyfriend wako?
Tunaamini ke ana nguvu ya ushawishi!
Mbona kwenye kuchepuka hamtakagi nguvu za ushawishi ila kwenye uchafu ndo mnazitaka?
 
Mwanaume pesa mwanamke urembo
 
Pole sana...

Ungemsadia kwa kumshurutisha ajipende na kuzingatia usafi...

Usafi unapendeza kwa wote wanawake na wanaume, na uchafu unakera sana kwa wote pia...


Cc: mahondaw
 
Ha ha ha yani unavyosimulia, kuna wakaka wapangaji wenzagu yani wao ni vururu na wakioga hawajifuti maji ni kuvaa nguo hvhv sasa zipite siku mbili uwiii!! Mpaka wanaume wenzio wanawasema
 
Nyenyere alisema huwezi kumbadilisha mtu tabia yake.
Kujaribu kumbadilisha mtu sio kazi yako,ni ya muumba[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa mbona yeye kwenye ule uzi wake alikuwa anajaribu kuwabadilisha wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…