Nawadanganyaga watu mtaani kuwa Mimi Ni star wa JF

Kutokana na ufinyu wa Elimu na kujiongeza Piga hela hata ninavyoandika hapa jirani yangu anawaumini kama 200 kanisani wanamuamini asilimia mia lakini kwangu ananiambia ngoja niwapige hela mzee...Hamna namna
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nasikia pasaka hii maghala ya pombeeeezi yamekauka..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…