eliakim xavery
Member
- Apr 24, 2015
- 98
- 72
Ukimuacha uje unichukue mimi nakupendaga basi tuKwanza nitawauliza mnamjua Queen of Katwe?
Wakisema wanamjua wamekwisha. Basi huyo ni mpenzi wangu na nataka kumwacha nimchukue miss mwingine wa JF.
Teh...wewe tutaenda kijiwe kingine maana washamjua hicho kijiwe kingine. Upendo wako kwangu ndiyo uleule kwangu kwako.Ukimuacha uje unichukue mimi nakupendaga basi tu
Tena sisi twende kijiwe cha mbali kabisaTeh...wewe tutaenda kijiwe kingine maana washamjua hicho kijiwe kingine. Upendo wako kwangu ndiyo uleule kwangu kwako.
Nishakuwa na ID ya mwanzo Nipo tokea 2012 enzi hizo nipo advanceMtu mwenyewe umejoin 2016 tu..ustar uutoe wapi..
Bado wa juzi juzi kumbeNishakuwa na ID ya mwanzo Nipo tokea 2012 enzi hizo nipo advance