Kwa kuanzia asa long as ni secret society,there is no need to know each other,ila mambo yetu na muelekeo wetu,ndio utaonyesha nguvu tuliyo nayo.
Tunaweza kujuana kwa salam au kwa ishara fulani fulani.
Kwa mfano badala ya kusema 'au vipi' utasema 'au vop'
Kwa kuanzia asa long as ni secret society,there is no need to know each other,ila mambo yetu na muelekeo wetu,ndio utaonyesha nguvu tuliyo nayo.
Tunaweza kujuana kwa salam au kwa ishara fulani fulani.
Kwa mfano badala ya kusema 'au vipi' utasema 'au vop'
tutafanyaje mambo yetu bila kujuana? Tutawachaguaje viongozi wetu bila kujuana,mipango,mikakati n.k
nalog off
basi tuwe tunakutana usiku wa manane,ktk maficho ambayo tutakubaliana
mkuu toka mwaka jana una log off nini tatizo?labda tufanye hivyo.
Nalog off
wazo zuri sana, lini 1st meeting inafanyika? count me in
mimi tayari ninalo jina la secret sosaiti yetu itaitwaje
i can also do some organization ya kuandaa pa kukutana na kadhalika...
lianze tu mkuu, ni ngumu wote kuwa tayari kwa wakati mmoja.Safi mahesabu kwa utayari wako, mpaka sasa akidi bado haijakamilika .
Vp kama group ianze hivyo hivyo tukawa na mijadala ya awali....??
Red g tunaomba baraka zako..
So lianze????????????
Safi mahesabu kwa utayari wako, mpaka sasa akidi bado haijakamilika .
Vp kama group ianze hivyo hivyo tukawa na mijadala ya awali....??
Red g tunaomba baraka zako..
So lianze????????????