Si nahreel naskia baba yake ni Nimrod Mkono kwa hiyo inaonyesha hana njaa kabisa ndo mana kila kazi akifanya ina heat coz anafanya kitu kama hobby na sio for the sake of money. Na ukifanya hivo kitu chochote lazima ufanikiwe ila ukishaweka pesa mbele lazima ufeli.