Hii serikali yetu kila mtu ana utawala wakeHuko ccm ndio kunawafaa,yani baba utopolo,mama,utopolo,watoto utopolo, wajukuu utopolo....huko ukiwa na akiwa zenyewe hubadilika tu unapopewa cheo.
Huyu utopolo sijui kakalia kitu kigumu anaharisha tu
.View attachment 1656798
Siyo kweli, chadema ingekuwa ya wote mngepata mbunge mmoja?Chadema ni ya wote!
Tujulishe malsahi uliyo kuwa nayo kwa hao 19.Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Nimeamua kucheka tu,maana unayosema siyajui. " Hata kukaa kimya ni jibu"Naona Id zako zote mbili ziko mzigoni!
Salumu Mwalimu anasemaje hapo Ufipa bwashee?Matiko ameshatuma rufaa yake kupitia Mheshimiwa Aishi.
Hata laana pia inapatikana hukohuko.Sina Hofu Wala Wasi Wasi Kuhusu Kiongozi Wa Wamama, Na Wenzake Wapo Salama
Ukiwa Ccm Nani Aseme Nini Ili Iweje? Halima Tulia Ccm Kule Ni Kivulini Utapata Yote Utakayo
Rafiki naomba collabo ya Matiko na Aeshii. Hv kumbe wana mahusiano. Nimekupm umefunga.Ester Matiko ametoa collabo na Aeshi..
Ambao hamjaipata nifuate inbox niwapakulie mzigo kama wote.
Ubunge?Chadema ni ya wote!
Ndugai ana jambo nao.Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Hayo makovid 19,hayawezi kurudi kukata rufaa,yanajua nini kitatokea,yameamua kuwa madanga ya kisiasa,wacha yakae hukohuko,ila kwenye siasa,yameishajichimbia kaburi.Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Uongo unakusaidia nini, wewe mwanamke wewe,..! unakihere here mno na CHADEMAJ J Mnyika!
Anasema wewe wacha kiherehereSalumu Mwalimu anasemaje hapo Ufipa bwashee?
Ha haha haaa sawa bwaasheeCCM mavyeo ni mengi tofauti na hapo Ufipa!
Spika hayuko juu ya katiba bwashee!
Kwanini usiwakaribishe CCM?Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Naomba nitumie PM.Ester Matiko ametoa collabo na Aeshi..
Ambao hamjaipata nifuate inbox niwapakulie mzigo kama wote.