kwisha JF-Expert Member Joined Sep 9, 2021 Posts 1,779 Reaction score 4,982 Feb 19, 2023 #1 Na wakumbusha kuwa leo tuna cheza na jezi yetu ya kiama nyeusi kwa hiyo msitegee kuwa tutapoteza hiyo ni taarifa ambayo nimewapa mapema
Na wakumbusha kuwa leo tuna cheza na jezi yetu ya kiama nyeusi kwa hiyo msitegee kuwa tutapoteza hiyo ni taarifa ambayo nimewapa mapema
I Interlacustrine E JF-Expert Member Joined Jun 3, 2020 Posts 3,397 Reaction score 6,015 Feb 19, 2023 #2 kwisha said: Na wakumbusha kuwa leo tuna cheza na jezi yetu ya kiama nyeusi kwa hiyo msitegee kuwa tutapoteza hiyo ni taarifa ambayo nimewapa mapema Click to expand... Nawaombea Watani zangu Makolokolo wapumzishwe jamani. Itoshe tu kusema wamekoma, wamejifunza na hawatalamba sumu tena kwa kuionja.
kwisha said: Na wakumbusha kuwa leo tuna cheza na jezi yetu ya kiama nyeusi kwa hiyo msitegee kuwa tutapoteza hiyo ni taarifa ambayo nimewapa mapema Click to expand... Nawaombea Watani zangu Makolokolo wapumzishwe jamani. Itoshe tu kusema wamekoma, wamejifunza na hawatalamba sumu tena kwa kuionja.