Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Rejea kichwa cha mada hapo juu.
Nawakumbusha wale wote walioenda kupaka majivu jana na jana walianza mfungo ila leo wanaendeleza yaleyale ya hapo kabla na wanasema wamefunga mfungo wa Kwarezima, sasa wewe unasengenya, unawasema wengine vibaya, huonei wengine huruma, husaidii wengine, nk unafunga nini sasa?
Nakuuliza wewe hapo unafunga nini maana unayafanya yale yale tu ya siku zote nini unachofunga?, si bora usingeenda hata kupakaa majivu, hivi mnafikiri kupakaa yale majivu ni fashion? Jana umezunguka kila mtu akuone umetoka kupaka majivu leo umeamka unaanza tabia zako zile zile umesahau upo kwenye kipindi cha mfungo wa Kwarezima?
Umeenda kupakaa majivu ila sababu domo lako ni chafu domo limezoea kuongea maneno maovu maneno machafu maneno yasiyo na tiba leo umeweka kijiwe na wenzio unaanza kumsema na kumsengenya mtu mwingine huyu vile huyu mara huyu vile huyu kafanya hivi huyu hafanyi hivi, umesahau jana ulienda kupakaa majivu wewe au ulienda kupakaa km urembo?
Meseeji sent & delivered.
Muwe Kwarezima njema.
Kalamu imeisha wino....
Nawakumbusha wale wote walioenda kupaka majivu jana na jana walianza mfungo ila leo wanaendeleza yaleyale ya hapo kabla na wanasema wamefunga mfungo wa Kwarezima, sasa wewe unasengenya, unawasema wengine vibaya, huonei wengine huruma, husaidii wengine, nk unafunga nini sasa?
Nakuuliza wewe hapo unafunga nini maana unayafanya yale yale tu ya siku zote nini unachofunga?, si bora usingeenda hata kupakaa majivu, hivi mnafikiri kupakaa yale majivu ni fashion? Jana umezunguka kila mtu akuone umetoka kupaka majivu leo umeamka unaanza tabia zako zile zile umesahau upo kwenye kipindi cha mfungo wa Kwarezima?
Umeenda kupakaa majivu ila sababu domo lako ni chafu domo limezoea kuongea maneno maovu maneno machafu maneno yasiyo na tiba leo umeweka kijiwe na wenzio unaanza kumsema na kumsengenya mtu mwingine huyu vile huyu mara huyu vile huyu kafanya hivi huyu hafanyi hivi, umesahau jana ulienda kupakaa majivu wewe au ulienda kupakaa km urembo?
Meseeji sent & delivered.
Muwe Kwarezima njema.
Kalamu imeisha wino....