Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,647
Natubu kwa MWENYEZI MUNGU NA KWA MKE WANGU, NAMWOMBA SANA ANISAMEHE. nilimwoa mke wangu nikiwa sina chochote na kwa msaada wake wa mawazo na msaada wa Mungu tulifanikiwa kujijenga kimaisha na hali yetu ya kipato ni nzuri kidogo. nashindwa nieleze vipi ila ninachojua nimemkosea sana mke wangu na baadhi ya makosa yangu BAADA YA KUPATA MAFANIKIO NILIANZA KUMDHARAU SN MKE WANGU na kwa muda mrefu nimekua nikishirikiana na ndugu zangu kumnyanyasa na kumtukana mke wangu kwa makusudi mara nyingi nimewahi kulala nje ya ndoa nikiwa na wanawake wengine akiwemo ndugu yk wa karibu sn na mke wng alijua yt,kwakweli nimemfanyia mabaya mengi sn na amekua akilia na kusononeka sn lkn bado alinionyesha upendo na baada ya kuona kila ninachomfanyia haondoki siku 1 NILIMTUKANA SN bila sbb na kumfukuza kama mbwa, wakati anaondoka aliniambia "MUME WANGU NILIKUPENDA SN ZAIDI YA NILIVYOIPENDA NAFSI YNG, UMEAMUA UNINYANYASE NA KUNIFUKUZA KAMA MBWA, NAENDA LKN UTANIKUMBUKA SN NA SITAKAA NIRUDI KWAKO MILEE"